Matangazo:

kutangaza biashara yako hapa piga simu 0718865251 au email: excitetanzania.gmail.com

HABARI KAMILI

Tuesday, December 31, 2013

TUME YA KATIBA YAMALIZA KAZI, YAMKABIDHI JK RASIMU YA MWISHO YA KATIBA MPYA.

Dar es Salaam.Tume ya Mabadiliko ya Katiba imetoa Rasimu ya Pili ya Katiba ikiwa na mambo sita mpya, huku ikiendelea kupendekeza Muungano wa Serikali tatu na kurejea kwa...

KAMISHNA ERNEST MANGU, SASA IGP MPYA JESHI LA POLISI.

Dar es Salaam.Rais Jakaya Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi, Ernest Mangu kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini. Taarifa iliyotolewa jana usiku na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni...

Saturday, December 28, 2013

ZABUNI/TENDERS

Tender No. Tender Description Tender Category Entity Name Deadline Download LGA/017/ KMC/2013/2014/W/06 Proposed for Construction of Box Culverts, Upgrading, Periodic Maintenance of Various Roads in Kinondoni Municipality Lot...

Kim Paulsen ametangaza kikosi cha wachezaji 32 kitakachoivaa Kenya

Kocha mkuu wa timu ya soka ya taifa Taifa stars Kim Paulsen ametangaza kikosi cha wachezaji 32 kitakachoivaa Kenya katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki utakaochezwa Novemba 19 jijini...

Dr. Kigoda ametaka tasisi kubwa zinazoshughulika na masuala ya biashara na uwekezaji kukutana na TRA

Waziri wa viwanda na biashara dokta Abdallah Kigoda ametaka tasisi kubwa zinazoshughulika na masuala ya biashara na uwekezaji kukutana na mamlaka ya mapato nchini tra kujadili jinsi ya kuangalia...

SERIKALI YATANGAZA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUINGIA KIDATO CHA KWANZA

Serikali imetangaza watakaoingia kidato cha kwanza  mwakani  kutokana na matokeo ya darasa la saba  ambapo wanafunzi  427,60 kati ya  844,938 waliofanya mtihani huo mwaka huu wamefaulu ikiwa ni asilimi...

SERIKALI YALIPUUZA BUNGE NA KUWASAFISHA JAIRO, NYONI NA MTASIWA KIMYAKIMYA.

Serikali imewasafisha aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Blandina Nyoni na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo huku ikimpandisha...

Tuesday, December 24, 2013

YANGA KUMLIPA BRANDTS MILIONI 170 KWA KUVUNJA MKATABA

Dar es Salaam. Kocha wa Yanga, Ernie Brandts sasa atavuna Sh170 milioni kutoka kwa uongozi wa timu hiyo baada ya kusitisha mkataba wake jana. Kutokana na hali hiyo,...

WANANCHI WATAKOMBOLEWA NA ELIMU BORA SIO SIASA

Ulimwengu mzima unatambua kwamba hakuna nchi iliyowahi kuendelea bila wananchi wake kuwa na elimu. Maendeleo yote yametokana na elimu sahihi iliyojaa maarifa, ubunifu, uwezo mkubwa wa kufikiri na...

DK Slaa amtaka JK kuwawajibisha wakuu vyombo vya dola nchini

Igunga. Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willbroad Slaa, amehitimisha ziara yake wilayani Igunga na kumtaka Rais Jakaya Kikwete kuwawajibisha Mkurugenzi wa Usalama wa...

TANESCO YAPEWA BARAKA KUPAISHA TENA BEI YA UMEME

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza bei mpya za umeme ambazo zimepanda kwa kuzingatia makundi tofauti. Akizungumza na waandishi wa...

Monday, December 23, 2013

POLISI YAKIRI KUTIKISWA NA OPERESHENI TOKOMEZA

Dar es Salaam.  Jeshi la Polisi, limekiri kutikiswa na ripoti ya Operesheni Tokomeza Ujangili ambayo imemkumba Waziri wake wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi. Mkurugenzi...

WABUNGE WAJIPANGA KUMTIMUA PINDA

Dodoma/Dar es Salaam. Baadhi ya wabunge wameanzisha mkakati wa kumwondoa madarakani, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika kile wanachodai kuwa hawaridhishwi na utendaji wake serikalini. Hiyo ni dalili kwamba...

Saturday, December 21, 2013

Mawaziri wanne wang’oka

Dar es Salaam / Dodoma. Ripoti ya Kamati ya Maliasili, Ardhi na Mazingira iliyowasilishwa jana asubuhi bungeni mjini Dodoma, imewang’oa madarakani mawaziri wanne ambao wizara zao zilishindwa kusimamia...

Copyright @ 2013 SHAUKU BLOG. Designed by Templateism | Love for The Globe Press