Matangazo:

kutangaza biashara yako hapa piga simu 0718865251 au email: excitetanzania.gmail.com

HABARI KAMILI

Monday, January 6, 2014

ZITTO KABWE AVURUMISHA MAKOMBORA MAZITO CHADEMA

 "Lissu anasema nimepewa magari 2 na Mzee Mkono. Anasema kaambiwa na Mkono. Naamini Mkono alimwambia pia mwaka 2005 alimpa Freeman Aikaeli Mbowe tshs 40m ili Mbowe asifanye kampeni Musoma...

Saturday, January 4, 2014

KIJANA ACHEZEA MKONG'OTO BAADA YA KUJIFANYA KIJOGOO KWA MKE WA MTU

KIJANA ACHEZEA MKONG'OTO BAADA YA KUJIFANYA KIJOGOO KWA MKE WA MTU HAPA AKIOMBA MSAMAHA BAADA YA KUWEKEWA MTEGO NA KULA KICHAPO CHA KUFUNGIA MWAKA NIKITOKA HAPA SITARUDIA TENA, NDIVYO...

MFAHAMU JAJI AUGUSTINO RAMADHANI, TOKA BRIGEDIA JENERALI, JAJI MKUU HADI UCHUNGAJI.

Zanzibar.Baba wa Taifa alipendelea sana kuitwa Mwalimu, kazi aliyoanza kufanya kabla ya kuwa Rais wa kwanza na hadi anastaafu urais jina la Mwalimu hakuliacha hadi mauti yalipomkuta. Hii...

Chadema ngoma nzito,wafuasi watwangana makonde mahakamani

Dar es Salaam. Vurugu za aina yake zimezuka katika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam, baada ya watu wanaodhaniwa kuwa wanachama wa Chadema  kumzomea aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu...

CCM yamtolea uvivu Lowassa urais 2015

Dar es Salaam. Unaweza kusema sasa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kumfungia kazi Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa baada ya jana Makamu Mwenyekiti wake (Bara), Phillip Mangula...

Copyright @ 2013 SHAUKU BLOG. Designed by Templateism | Love for The Globe Press